Gavana Njuki kuzuiliwa kwa saa 24 zaidi akisubiri kuachiliwa kwa dhamana

July 2024 ยท 1 minute read

Gavana wa kaunti ya Tharaka Nithi Muthomi Njuki ataendelea kuzuiliwa kwa saa zingine 24 kulingana na uamuzi wa jaji wa mahakama ya Milimani

Jaji huyo alisema ataamua Jumatano, Septemba 9, iwapo ataruhusu gavana huyo awachiliwe kwa dhamana au la.

Habari Nyingine: Super Seneta Johnson Sakaja atangaza kuwa ameacha kunywa pombe

Habari Nyingine: Wanjugu Kimathi: Bintiye Dedan Kimathi akamatwa, azuiliwa Rumuruti

Gavana Njuki na wenzake 20 walishtakiwa kwa kosa la utumiaji mbaya ya KSh 34.9 milioni za umma.

Njuki na washukiwa wenzake wamekana mashtaka dhidi yake.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsaApp: 073248269.

Tazama habari kutoka hapa TUKO.co.ke

Subscribe to watch new videos

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdjbIV4fJRmnpqukaOubrrJrqKiZZuqx7a1y6KummWbrK5uv8CaZGtsXa%2BuqrDIZpikoaOqr6q%2ByGairpmTnbattdaaZKSvkWKxqa3MmqWaZpipuq0%3D